Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2024

HAKUNA CHOCHOTE KATIKA  MAISHA  CHA KUPIGANIA! 

Picha
UKWELI MCHUNGU,  MWANADAMU ACHA KIBURI NA MAJIVUNO By Ev. Elimeleck Ndashikiwe  Nguo zako zile bora kabisa kuna mtu kwake ni matambara tu.  Akiba yako kwenye akaunti ya Benki ni sawa na mchango wa mtu katika sherehe tu.         Boyfriend au Girlfriend wako au mchumba ni Ex wa mtu! Hivyo ni nini hasa cha kujivunia? Maisha ni mafupi sana na madogo mno kujisikia kuwa mkubwa ama bora kuliko mtu wengine.        "Tupo sote uchi hadi kufa" aliwahi kusema Steve Jobs. Gwiji muanzilishi wa iPhone(ambaye kwa sasa kifo kimemchukua kwa maradhi ya Cancer) "Hakuna kitu kinachoweza kutuokoa sote Kukabiliwa na kifo".  Mhubiri 3 1 Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu. 13 Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote. 15 Yale yaliyoko yamekuwako; na hayo yatakayokuwako yamekwisha kuwako; naye Mungu huyatafuta tena mambo yale yaliyopita.     ...