Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2025

ROHO MTAKATIFU

“ROHO MTAKATIFU ANAWEZA KUHUISHA MAMBO YALIYOKUFA;  -Maandiko yanena YEYE ALIYEMFUFUA YESU ATAIHUISHA NA MIILI YENU ILIYO KATIKA HALI YA KUFA!. -Katika MAONO ya EZEKIELI, YALE MAJI YA MTO YANAWEZA KUHUISHA KILA KILICHOKUFA, HATA YALIPOFIKA KWENYE BAHARI (BAHARI MFU) MAJI YAKE YALIPONYEKA;  •BILA KUJALI MAISHA YAKO YAMEKUFA, BILA KUJALI MAMBO YAMEKUFA NA HAUNA MATOKEO YOYOTE; ROHO WA MUNGU ANAWEZA KUYAHUISHA TENA YAKAWA HAI!.  •IKIWA UMEINGIA MWEZI MPYA, MWEZI WA NNE; MRUHUSU ROHO WA MUNGU AYAFUFUE MAMBO YAKO YALIYOKUFA. IKIWA ROHO YAKE ALIYEMFUFUA YESU ANAKAA NDANI YAKO, YEYE ANAWEZA KUYAFUFUA MAMBO YAKO..       MWEZI HUU MPE NAFASI YA KUTOSHA, KILA KILICHOKUFA KINAWEZA KUWA HAI TENA MRUHUSU ROHO WA YESU AHUISHE!!.  “Tena itakuwa, kila kiumbe hai kisongamanacho, kila mahali itakapofika mito hiyo, kitaishi; kutakuwapo wingi mkubwa wa samaki, kwa sababu maji haya yamefika huko maana maji yale yataponyeka, na kila kitu kitaishi po pote utakapofikilia...