Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari, 2024

KITABU CHA YOHANA MTAKATIFU

Picha
Bwana Yesu asifiwe sana wapendwa, Mistari muhimu: "Hapo mwanzo kulikuwako na Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu ... Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli "(Yohana 1: 1,14). "Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema, 'Tazama mwana kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!" (Yohana 1:29). Ev. Elimeleck Ndashikiwe   "Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe Pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele" (Yohana 3:16). "Yesu akajibu, akawaambia, 'Hii ndiyo kazi ya Mungu, mmwaamini yeye aliyetumwa na yeye" (Yohana 6:29). "Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu. Mimi nilikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele" (Yohana 10:10). "Nami nawapa uzima wa milele, wala hawatapotea kamwe, wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu" (Yohana 10:28). ...

HEMA YA SIFA KISANGA B

Picha
Huu ni mwaka ambao tumeanza kwa ushindi mno mno, Mungu ametuwezesha zaidi ya fahamu zetu na akili zetu! IT IS A NEW BEGINNING IN 2024 Matukio katika picha mojawapo ya ibada zetu kanisani. Our Bishop BONPHACE MBISE