UTUKUFU KWA JEHOVAH

INJILI iliyohubiriwa Dodoma Chamwino haikuwa ya kitoto kabisa,

Mungu wetu alituwezesha kuwafikia wengi, na wengi walifunguliwa na kumpokea Yesu Kristo na kumfanya kuwa Bawana na Mwokozi wa maisha yao.

Namaanisha WALIOKOKA.

Kwaya ya PHS-Choir ilihudumu mkutanoni hapo na kuwabariki wengi kwa utukufu wa jina la Yesu Kristo.


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

KUPIGA HATUA KUBWA ZAIDI KIROHO

WATUMISHI WA MUNGU TUSIDHARAULIANE

JE, UNAIJUA KARAMA YAKO? By Ev. Elimeleck S Ndashikiwe